Saturday, June 8, 2013

Vyakula 7 vyenye Faida kwa Ubongo au Akili yako


  1. Zabibu:
    Husaidia kulinda ubongo dhidi ya kupungua uwezo wa kumbukumbu.
  2. Samaki
    Husaidia kuongeza uwezo wa Ubongo katika mawasiliano.
  3. Kahawa:
    Hulinda Ubongo dhidi ya ugonjwa wa Akili unao ambatana na uzee.
  4. Chokleti (Chocolate):
    Husaidia kulinda ubongo dhidi ya kupungua uwezo wa kumbukumbu.
  5. Mtindi (Maziwa Mgando):
    Huongeza Vitamini B12, ambayo husaidia kuzuia Ubongo Kusinyaa.
  6. Mboga za Kijani / Majani:
    Husaidia kulinda ubongo dhidi ya kupungua uwezo wa kukumbuka mambo.
  7. Karanga au Korosho:
    Huongeza Vitamini E, ambayo hulinda Ubongo dhidi ya ugonjwa wa Akili unao ambatana na uzee.