Vyakula 7 vyenye Faida kwa Ubongo au Akili yako
- Zabibu:
Husaidia kulinda ubongo dhidi ya kupungua uwezo wa kumbukumbu.
- Samaki
Husaidia kuongeza uwezo wa Ubongo katika mawasiliano.
- Kahawa:
Hulinda Ubongo dhidi ya ugonjwa wa Akili unao ambatana na uzee.
- Chokleti (Chocolate):
Husaidia kulinda ubongo dhidi ya kupungua uwezo wa kumbukumbu.
- Mtindi (Maziwa Mgando):
Huongeza Vitamini B12, ambayo husaidia kuzuia Ubongo Kusinyaa.
- Mboga za Kijani / Majani:
Husaidia kulinda ubongo dhidi ya kupungua uwezo wa kukumbuka mambo.
- Karanga au Korosho:
Huongeza Vitamini E, ambayo hulinda Ubongo dhidi ya ugonjwa wa Akili unao ambatana na uzee.