Tuesday, July 16, 2013

Faida za Kunywa Maji kwa Wakati


  1. Glasi 2 za maji baada ya kuamka, husaidia kuamsha Ogani za mwili (kama Maini, Moyo na Mapafu) na zifanye kazi vizuri.
  2. Glasi 1 ya maji dakika 30 kabla ya kula, husaidia katika mfumo wa Kuyeyusha au Kusaga (Digestion) chakula.
  3. Glasi 1 ya maji kabla ya kuoga, husaidia kurekebisha mfumo wa msukumo wa Damu (Blood Pressure) mwilini.
  4. Glasi moja ya maji kabla ya kulala, husaidia kukulinda dhidi ya uwezekano wa kupata Ugonjwa wa Moyo (Stroke / Heart attack)