Wauguzi wao alifanya kila kitu amabacho waliweza kufanya ili kuboresha afya Brielle, lakini hawakuweza kufanikiwa. Siku moja, mmoja wa Wauguzi aliamua kwenda kinyume cha sheria na masharti ya Hospitali na kuamua kuwaweka Sehemu moja. Aliwaacha watoto na kwenda kulala lakini hakuamini macho aliporudi muda mchache baadae. Kama picha inavyoonekana hapo juu, Brielle alimsogelea dada yake Kyrie, na kumkumbatia kwa kamkono kake kadogo na kumtia moyo. Tangu wakati huo, mfumo wa kupumua wa Kyrie ukarudi kua sawa na afya yake ikaimarika kuanzia hapo.
Karie na Brielle miaka 17 Baadae. (2012)

