Monday, December 9, 2013

Rekodi Tano za Ajabu Duniani

1. Mwanamke mwenye kucha ndefu zaidi Duniani
Lee Redmond, mwenye umri wa miaka 68 na raia wa Marekani aliwahi kushika rekodi ya kuwa na kucha ndefu zaidi duniani baada ya kucha zake alizoanza kuzifuga 1979. Hadi mwaka 2008 kucha hizo zilikua na urefu wa Futi 28 na Inchi 4.5.

 

Putting Mr. Martinez from Daria to shame, American Kim Goodman can pop her eyeballs a creepy 0.47 inches beyond her eye socket. The feat was measured in Turkey in 2007.

2. Mwanamke anaongoza kwa kua na Macho makubwa.
Kim Goodman, raia wa Marekani ana shikilia rekodi ya uwezo wa kutoa macho (kuyakuza macho)

 

Ilker Yilmaz, a construction worker from Turkey, can squirt milk from his eyes up to 9 ft 2 in, which he disgustingly proved in a hotel in Istanbul in 2004.

3. Mwanaume anayetoa Maziwa kwenye macho
Ilker Yilmaz, raia wa Uturuki anashikilia rekodi ya kutoa maziwa kwenye macho. Ana uwezo wa kukamuua maziwa kwenye macho yake na kuyarusha kwa urefu wa Futi 9 na Inchi 2.

 

Garry Turner of Britain can stretch his skin up to 6.25 inches, less due to an amazing talent and more so a medical condition, Ehlers-Danlos Syndrome.

4. Ngozi inayovutika zaidi
Garry Turner, raia wa Uingereza ana uwezo wa kuvuta ngozi yake kwa kiasi cha Inchi 6.25
 

 

The Space Cowboy, aka Chayne Hultgren, holds the bizarre and painful record of pulling the heaviest weight with his eye sockets. In 2009

5. Kuvuta vitu vizito kwa kutumia Macho
Chayne Hultgren, anashikilia rekodi ya ajabu na akusisimua ya uwezo wa kuvuta vitu vizito kwa kutumia ngozi ya macho yake.