Friday, January 31, 2014

Makundi manne ya tabia za Watu

Kwa mujibu wa wana Saikolojia haya ndio makundi manne ya watu, kutokana na tabia zao.

1. Sanguine




  • Ni watu wachangamfu wakati mwingi.


  • Wana marafiki wengi


  • Huongea sana


  • Wanajua kutia moyo


  • Wabunifu


  • Wanapenda kujulikana


  • Wanapenda kushereheka



  • Wasahaulifu


  • Wana tabia ya kuchelewa mihadi


  • Huchukia kutothaminiwa


  • Hupoteza shauku kirahisi kama jambo halifurahishi

2. Choleric




  • Hupenda uongozi


  • Watu wanaishi kwa malengo sana


  • Ni viongozi wazuri


  • Hukasirika haraka


  • Wana uwezo mkubwa wa kufanya maamuzi


  • Wana uwezo wa kupanga mipango mizuri


  • Hawapotezi shauku ya mambo kirahisi

3. Melancholy




  • Wana uwezo mzuri wa kufikiria


  • Hupenda kufanya mambo kwa ukamilifu


  • Hupendelea zaidi kukaa pekeyao


  • Hufanya mambo kwa ratiba


  • Ni waaminifu (Humaanisha wasemacho)


  • Hawapendi kulalamika


  • Hupenda kujitegemra


  • Huamini katika kufanya mambo wenyewe


  • Ni wabunifu wazuri


  • Hufanya vizuri kwenye mambo kama Muziki na Ushahiri

4. Phlegmatic




  • Ni watu Wakimya


  • Hupenda Amani


  • Hupenda kupenda na kupendwa


  • Wana aibu wakati mwingine


  • Wana uwezo wa kuvumiliana na hali


  • Wanaonekana kua wavivu wakati mwingine


  • Ni watu wasio na Papara


  • Huonekana wasiokua na Nguvu nyingi

Je wewe umejiweka kwenye kundi gani? Tuambie kwa ku-comment hapo chini.