Thursday, January 9, 2014

Nathan Thomson: Mtoto aliyechomwa kisu Usoni akimwokoa mama yake

MTOTO Nathan Thomson alichomwa kisu usoni na Hugh Clark, wakati akipigania kumwokoa

mama yake dhidi ya mtu huyo aliyekuwa amelewa na aliyekuwa na kisu akitaka kuua. Nathan

alimrukia Clark mgogoni ili asiendelee kumchoma visu mama yake, Ena. Kuona hivyo, Clark

alimgeukia mtoto huyo na kumchoma usoni. Hata hivyo, Nathan alifanikiwa kumwokoa mama yake

ambaye aliishia kumchowa mara nane lakini baadaye akapona. Mtu huyo alikuwa amevunja na

kuingia katika nyumba ya familia hiyo huko Fife, Scotland.